BIASHARA LEO; Biashara Yako Ni Kuwafurahisha Watu…

By | June 19, 2017
Hitaji kubwa sana la kila mwanadamu, ukishaondoa yale ya kuhakikisha anaendelea kuwa hai, basi ni kujaliwa na wengine, kuonekana wa thamani mbele ya wengine. Hichi ni kitu ambacho watu wanakipigania kweli. Yaani ukiwaangalia watu usoni ni kama wamejibandika ujumbe unaosema TAFADHALI NITHAMINI…. Watu wanapenda sana hilo. Watu wanapothaminiwa, wanapoona wana

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz