Maswali matatu muhimu ya kujiuliza leo ili kujua muelekeo wa maisha yako.

By | December 6, 2014
Maswali matatu muhimu ya kujiuliza ili kujua ni nini unapaswa kufanya.i. Ni kitu gani ambacho unajua unataka ukifanye ila bado unakipuuzia kukifanya?ii. Ni kitu gani unaweza kukisimamia leo?iii. Ni kitu gani haupo tayari kukiacha/kukiharibu hata kama kungetokea nini?Kwa kujibu maswali haya utajua ni kipi muhimu kwako na anza kukifanyia kazi.Kama

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz