Kauli KUMI Za Kukuhamasisha Kutoka Kwa Nelson Mandela.

By | January 22, 2015
Nelson Mandela alikuwa mpingaji wa sera za kibaguzi nchini Afrika ya kusini. Pia alikuwa raisi wa Afrika kusini kati ya mwaka 1994 mpaka mwaka 1999. Alifungwa jela miaka 27 kutokana na harakati zake ila hakukata tamaa, alipotoka jela aliendelea na harakati na hatimaye kuweza kuwa raisi wa taifa ambalo halina

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz