UKURASA WA 22; Usiogope Kufanya Makosa…

By | January 22, 2015
Katika maisha, kazi na hata biashara kuna kitu kimoja ambacho tuna uhakika nacho. Kitu hiko ni kwamba ni lazima utafanya makosa. Hata uwe umejiandaa kwa kiasi gani, hata uweke mambo vizuri kiasi gani bado utafanya makosa. Hii ni kwa sababu hakuna mtu aliyezaliwa na kitabu cha matumizi kwamba maisha yako

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In