Jambo Moja La Kushangaza Kuhusu Maisha.

By | January 24, 2015
Jambo la kushangaza kuhusu maisha ni kwamba kila mtu anajua ni jinsi gani maisha ya mwenzake inabidi yawe ila hajui yakwake yanatakiwa kuwaje. Ndio maana ni rahisi sana mtu kutoa maoni kwa mtu kwamba anakosea au hajui anachofanya, wakati maisha ya huyo mtoa maoni pia yanahitaji marekebisho. Usianguke kwenye hili,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz