UKURASA WA 226; Akiondoka Kwako Atakwenda Kwa Nani?

By | August 14, 2015
Swali muhimu sana kujiuliza kama hutaki kumpoteza mtu ambaye ni muhimu kwako. Kama wewe ni mfanyabiashara jiulize swali hili kila siku. Je kama mteja uliyenaye sasa ataamua kuacha kufanya biashara na wewe, je atakwenda kwa mfanyabiashara mwenye sifa gani? Kama hutaki kumpoteza mteja huyo basi tengeneza sifa hizo atakazozifuata. NI

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz