Kama mteja ataacha kufanya biashara na wewe, ataenda wapi?

By | August 17, 2015
Ni rahisi sana kutabiri kama biashara yako itafanikiwa au haitafanikiwa. Japo watu wengi huwa hawachukui hatua hii muhimu. Kwenye biashara yako, kwa bidhaa au huduma unayotoa, wewe mwenyewe kwenye moyo wako unaweza kuwa unajua kama unatoa thamani kweli au hutoi thamani. Leo tutajadili swali moja muhimu sana unalotakiwa kujiuliza kila

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz