UKURASA WA 229; Ukiwa Unakula Chakula Kitamu, Hujali Serikali Inafanya Nini.

By | August 17, 2015
Moja ya vitu vikubwa ambavyo huwa nawashauri watu wanaotaka kubadili maisha yao ni kuanza na zoezi hili la siku kumi. Zoezi lenyewe linakutaka wewe usilalamike kwa chochote kile kwa siku kumi mfululizo, na kama ikitokea umelalamika basi unaanza tena(ni zoezi zuri sana, kama hujalifanya bado bonyeza maandishi haya kulisoma). Sasa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz