UKURASA WA 246; Dunia Nzima Itakupisha Kama Unajua Kitu Hiki Kimoja.

By | September 3, 2015
Mara nyingi nikiwa nafanya kazi ambayo haihitaji umakini sana na eneo likawa na kelele zozote ndogo ndogo zinazoweza kunihamisha mawazo, huwa navaa spika za masikioni na kusikiliza muziki kwa sauti ya chini. Hii ni njia moja ambayo imekuwa ikinisaidia sana kuweza kufanya kazi hata kama eneo lina kelele. Na muziki

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz