UKURASA WA 255; Kuwa Makini Na Sumu Hizi Mbili Za Mafanikio.

By | September 12, 2015
Kila mmoja wetu anapenda kufanikiwa kwenye maisha, na ndio kitu ambacho tumekuwa tunafanyia kazi kila siku. Lakini wakati tunakazana kufikia mafanikio makubwa, kuna sumu zinazotunyemelea ambazo zinatuzuia kufikia mafanikio makubwa. Kuna sumu nyingi za mafanikio, ila kati ya hizo kuna sumu kubwa mbili ambazo zikishakuingia, wewe mwenyewe ndio unaua safari

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz