UKURASA WA 266; Je Ni Hofu Au Ndoto?

By | September 23, 2015
Maamuzi yote ambayo kila mmoja wetu anafanya kwenye maisha, yanaendeshwa na moja kati ya nguvu hizi mbili, HOFU au NDOTO. JE NI KIPI KINAKUSUKUMA KUCHUKUA HATUA? HOFU AU NDOTO? Maamuzi tunayofanya kwenye kazi, kwenye biashara na hata maeneo yote muhimu kwenye maisha, yanatokana na jinsi tunavyochukulia nguvu hizi mbili. Maamuzi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz