UKURASA WA 338; Kufanya Kwa Shingo Upande….

By | December 4, 2015
Ni kupoteza muda wako na wa wengine pia. Chochote unachoamua kufanya, kifanye kwa moyo mmoja, kifanye kwa juhudi zako zote na maarifa yako yote. Au usikubali kabisa kukifanya, kwa sababu ambazo unaweza kuzitoa au usizitoe, amua ya kwamba hufanyi kitu hiko. Kufanya kwa shingo upande, unaweza kuona unawasaidia wengine, lakini

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz