Jua jinsi benki zinavyofanya kazi kabla hujaomba mkopo wa biashara.

By | December 7, 2015
Wote tunajua ya kwamba ili biashara yako ikue zaidi kuna wakati unahitaji kupata fedha zaidi. Na fedha hizi zinaweza kutoka kwako binafsi au kwa watu wengine. Kama wewe binafsi huna fedha za kuweza kuweka kwenye biashara yako kuikuza, basi kuna taasisi zinaweza kukupatia fedha unazohitaji ili kukuza biashara yako. na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz