UKURASA WA 354; Hatari Moja Ambayo Huwezi Kuikwepa….

By | December 20, 2015
Kuishi ni hatari, ndio kila siku tunakutana na hatari mbalimbali, lakini hatuachi kuishi. Katika maisha tunakutana na hatari mbali mbali, kuna ambazo tunaweza kuziepuka na kuna ambazo hatuwezi kuziepuka. Kuna hatari moja ambayo wengi wetu huwa tunafikiri tunaweza kuiepuka au kuikwepa na hivyo kukazana kuikwepa, na mwishowe tunajikuta tunahangaika na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz