UKURASA WA 358; Kwa Usalama Wako Binafsi Zingatia Hili…

By | December 24, 2015
Kwa usalama wako binafsi, zungukwa na watu wenye busara, watu ambao mnafikiri sawa, watu ambao mnakwenda mbali zaidi ya pale mlipo sasa. Na watu ambao wanaboresha kile wanachofanya na maisha yao kila siku. Kwa kuzungukwa na watu wa aina hii inakuwa ahueni kwako kuchukua hatua na kuendelea kuweka juhudi, hata

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz