UKURASA WA 363; Dunia Nzuri Na Dunia Mbaya.

By | December 29, 2015
Wakati unasoma hapa kuna mambo mengi sana yanayoendelea duniani, zaidi ya mambo milioni. Na katika mambo hayo kuna ambayo ni mazuri na kuna ambayo ni mabaya. Kutokana na mambo hayo, wewe mwenyewe unaweza kuchagua kuiona dunia kuwa nzuri au kuwa mbaya. Kwa kufikiria zaidi yale mambo mabaya yanayotokea, utaiona dunia

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz