UKURASA WA 403; Furaha Ipo Kwenye Mchakato, Sio Mwisho.

By | February 7, 2016
Moja ya vitu ambavyo dunia imekuwa inatudanganya sana, na tunadanganyika ni kwamba furaha ipo mwisho. Yaani teseka sasa na baadaye utakuwa na furaha, baada ya kufikia kile ambacho unakitafuta au kukifanyia kazi. Huu ni uongo, na ndio imesababisha maisha ya wengi kuendelea magumu hata baada ya kupata kile ambacho wamekuwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz