Ilinde biashara yako kuepuka kupoteza kila kitu.

By | March 7, 2016
Kuna changamoto nyingi sana katika kuendesha na kukuza biashara yako. na hii ndiyo sababu kwa nini biashara nyingi huwa hazidumu muda mrefu, zinaondolewa haraka sana kwenye mzunguko baada ya kukutana na changamoto mbalimbali. Lakini pia kuna changamoto ambazo zingeweza kuzuilika au kuzuiwa kuleta madhara ya moja kwa moja kwenye biashara

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz