UKURASA WA 437; Miliki Makosa Yako.

By | March 12, 2016
Tunaishi kwenye jamii ambapo kufanya makosa ni jambo linalopewa mtazamo hasi. Kwamba anayefanya makosa hajui, au ni mzembe au hayupo makini. Na hivyo kila mmoja wetu anakazana kutokufanya makosa. Kitu ambacho pia hakiwezekani, kwa sababu kila mmoja wetu anafanya makosa. Sasa kinachotokea, pale mtu anapokuwa amefanya makosa kwenye jamii hizi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz