Mambo muhimu kuzingatia ukishapata mkopo wa biashara.

By | March 21, 2016
Moja ya njia za kupata au kuongeza mtaji wa biashara yako ni kuomba mkopo. Na siyo kila mtu anaweza kupata mkopo, hivyo unapokuwa na sifa za kupata mkopo, na ukapata mkopo unaohitaji ni jambo zuri kwa biashara yako. Lakini kama ambavyo unajua, au kama hujui unahitaji kujua leo, mkopo ni

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz