UKURASA WA 478; Usikubali Kuwa Kama Wao…

By | April 22, 2016
Katika kila unachofanya kwenye maisha yako, utakutana na watu ambao ni wasumbufu, watu ambao wanaudhi sana. Mnakubaliana mfanye kitu fulani lakini wao hawatimizi wajibu wao. Au wanafanya mambo ambayo yanapelekea wewe kukasirika na kuudhika sana. Au mtu anaamua kukukosoa na kukutukana kwa jambo ambalo hana hata uhakika nalo. Hizi ni

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz