ONGEA NA KOCHA; Siyo Kwa Ajili Yao, Ni Kwa Ajili Yako Mwenyewe.

By | April 26, 2016
Karibu tena rafiki yangu kwenye maongezi haya kati yangu mimi na wewe. Haya ni maongezi ambayo tunagusia maeneo mbalimbali ya maisha ambapo tunaweza kujifunza na kuwa bora zaidi. Asili yetu binadamu ni kuendelea, yaani kutokubaki pale ulipo sasa. Unahitaji kuwa bora zaidi leo kuliko ulivyokuwa jana. Ndiyo maana watu wengi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: ONGEA NA COACH MAKIRITA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz