UKURASA WA 626; Kuwapa Watu Kile Wanachotaka, Ni Hatari Kwa Mafanikio Yako…

By | September 17, 2016
Ukiangalia watu na makampuni yaliyoleta mabadiliko makubwa kwenye maisha yetu na kuwa na mafanikio makubwa, walifanya kile ambacho wengi hawawezi kufanya. Badala ya kuwapa watu kile ambacho walikuwa wanataka, waliwapa watu kile ambacho ni bora zaidi. Kwa mfano, kabla ya kuja kwa magari usafiri mrefu ulifanyika kwa njia ya treni

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz