#TAFAKARI YA ASUBUHI; SEMA UKWELI KWA WATOTO…

By | May 5, 2020
“You should always be truthful, especially with a child. You should always do what you have promised him, otherwise you will teach him to lie.” —After the TALMUD Watoto huwa wanajifunza kudanganya kupitia wazazi na walezi wao. Wanaangalia sana kile ambacho mtu anaahidi na jinsi anavyokitimiza. Hilo wanalielewa na kulikariri

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz