#TAFAKARI YA LEO; MAJUTO HAYAKWEPEKI….

By | April 6, 2021
Majuto ni kitu kisichokwepeka kwenye maisha yako. Kwa kila jambo utakalofanya, kuna majuto utakuwa nayo. Hasa pale unapokuwa na machaguo mbalimbali na inabidi uchague moja, haijalishi utachagua lililo bora kiasi gani, kuna wakati utaona bora ungechagua kingine. Hivyo usiangalie kutokuwa na majuto kabisa, bali angalia maamuzi ambayo yatakupa majuto madogo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz