2380; Usiangalie walipo sasa, angalia

By | July 7, 2021
2380; Usiangalie walipo sasa, angalia walipotoka… Nimekuwa nasema na ninaendelea kusema kwamba ushauri mwingi unaotolewa na watu waliofanikiwa siyo ushauri sahihi kwa wale ambao bado hawajafanikiwa. Na sababu kubwa ni mbili. Moja ni vingi walivyofanya, siyo ambavyo jamii inaweza kuelewa, hivyo wakivieleza wataonekana ni watu wa ajabu. Hata kama siyo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz