2474; Fanya vichache kwa ubora.

By | October 9, 2021
2474; Fanya vichache kwa ubora. Moja ya sababu za wengi kushindwa kufanya wanayofanya kwa ubora ni kuhangaika na mambo mengi. Watu wanakazana kufanya mambo mengi kwa wakati mmoja, kitu ambacho kinaathiri ufanisi wao. Unapofanya mambo mengi kwa wakati mmoja, unatawanya sana nguvu na umakini wako na kuishia kupata matokeo ya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz