#SheriaYaLeo (26/366); Epuka Nguvu Zinazokuzuia

By | November 26, 2021
#SheriaYaLeo (26/366); Epuka Nguvu Zinazokuzuia Usifikie Ubobezi. Una nguvu kubwa ndani yako ambayo inakufanya wa tofauti na wa kipekee, nguvu hiyo ndiyo imebeba wito na kusudi lako. Lakini pia kuna nguvu kubwa za nje ambazo zinaipinga nguvu hiyo ya ndani na kukuzuia usiweze kuitumia ili kujitofautisha na kufanya makubwa. Nguvu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz