2650; Hujakitaka kweli.

By | April 3, 2022
2650; Hujakitaka kweli. Hadithi tulizokuwa tunaambiwa utotoni zilikuwa na mafunzo makubwa kuhusu maisha ambayo haikuwa rahisi kuyaelewa kwenye kipindi cha utoto. Chukua mfano wa sungura aliyeziona ndizi na kuanza kuzirukia. Mwanzo aliona ndizi ni nzuri na zinamfaa. Kaanza kuzirukia lakini akawa hazifikii. Karuka tena na tena ila hakuzifikia. Mwisho akaamua

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz