2657; Huo mpango wako umekufikisha wapi?

By | April 10, 2022
2657; Huo mpango wako umekufikisha wapi? Hatua ya kwanza kabisa katika kupata matokeo makubwa na ya tofauti ni kuwa na mpango tofauti. Kufanya kile ambacho umekuwa unafanya, utaendelea kupata matokeo unayoyapata sasa. Kile ambacho kimekufikisha hapo ulipo sasa, kitakubakisha hapo hapo. Kama unataka kwenda zaidi ya hapo ulipo sasa, lazima

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz