#SheriaYaLeo (162/366); Waambukize watu hisia chanya.

By | April 11, 2022
#SheriaYaLeo (162/366); Waambukize watu hisia chanya. Sisi binadamu ni viumbe wa kihisia. Unapokuwa ndani ya kundi lolote lile, hasa kama kiongozi, waambukize watu hisia chanya kwa kuwapa hamasa ya kuweza kufanya makubwa zaidi. Washirikishe maono makubwa na malengo ya kufika kwenye maono hayo. Waonyeshe ung’ang’anizi katika kufikia maono hayo. Pia

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz