#SheriaYaLeo (166/366); Kuwa mkali.

By | April 15, 2022
#SheriaYaLeo (166/366); Kuwa mkali. Mara nyingi huwa tunapenda kuwa wapole na wenye kujali wengine ili kuweza kuendana nao vizuri na kupata kile tunachotaka. Hili huwa linafanya kazi vizuri wakati wa kawaida. Lakini wakati wa hatari hilo linakuwa mzigo kwako, kufanya hivyo kunapelekea watu wakuone ni mtu unayefaa kuonewa, kukatishwa tamaa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz