2666; Umetingwa na yapi?

By | April 19, 2022
2666; Umetingwa na yapi? Kutingwa au kuwa bize kama wengi walivyozoea kutumia ndiyo kuna nguvu kubwa ya kuamua matokeo ambayo mtu anayapata kwenye maisha yake. Kile kinachokuweka bize ndiyo kinachozalisha matokeo kwenye maisha yako. Matokeo unayopata sasa, iwe ni mazuri au mabaya yamezalishwa na yale yaliyokutinga huko nyuma. Usilaumu watu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz