#SheriaYaLeo (170/366); Usifanye mabadiliko makubwa kwa wakati mmoja.

By | April 19, 2022
#SheriaYaLeo (170/366); Usifanye mabadiliko makubwa kwa wakati mmoja. Sisi binadamu huwa tunapenda kusikia kuhusu mabadiliko, ila huwa hatupo tayari kubadilika. Watu wanajua kabisa umuhimu wa mabadiliko kwenye taasisi na hata mtu mmoja mmoja. Lakini pale mabadiliko hayo yanapowahusu wao binafsi na kuathiri maslahi yao huwa hawayafurahii. Mabadiliko ni mazuri na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz