2682; Hapana ni moja, ndiyo ni nyingi.

By | May 5, 2022
2682; Hapana ni moja, ndiyo ni nyingi. Unaposema hapana kwenye jambo moja, unakuwa umekataa jambo hilo moja. Lakini pia hapana hiyo moja inazuia mengine mengi ya mbeleni. Unaposema ndiyo kwenye jambo moja, unakuwa umesema ndiyo kwenye mambo mengine mengi ambayo hata huyaoni. Kwa kusema ndiyo moja, watu wanachukulia umesema ndiyo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz