#SheriaYaLeo (188/366); Tumia mauzo laini.

By | May 7, 2022
#SheriaYaLeo (188/366); Tumia mauzo laini. Kama lengo lako ni kujiuza wewe mwenyewe, iwe ni kujenga ushawishi au unagombea nafasi fulani, kuna njia mbili za kufanya hivyo. Njia ya kwanza ni kuuza kwa ugumu (hard sell). Hapa unaeleza moja kwa moja kila unachotaka, unaelezea mafanikio yako, unatumia takwimu mbalimbali na maoni

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz