#SheriaYaLeo (196/366); Tengeneza hali ya mshangao.

By | May 15, 2022
#SheriaYaLeo (196/366); Tengeneza hali ya mshangao. Watoto huwa wana tabia ya kufanya tofauti na kile tunachowaambia wafanye. Lakini kuna hali ambazo watoto huwa wanakuwa tayari kufuata kile wanachoambiwa; pale wanapoahidiwa kitu cha kushangaza. Inaweza kuwa ni zawadi iliyo ndani ya boksi au mchezo ambao mwisho wake hauonekani au safari ambayo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz