2699; Msimamo.

By | May 22, 2022
2699; Msimamo. Kila mtu anajua kile anachopaswa kufanya ili kupata kile anachotaka. Wengi huwanza mpaka kuchukua hatua hizo. Lakini bado wengi hawafanikiwi. Kwa sababu wanachokosa ni msimamo. Hawafanyi jambo kwa kujirudia rudia kwa muda mrefu. Wanapoona matokeo hayaji haraka kama wanavyotaka, wanaacha kufanya. Msimamo kwenye ufanyaji ni moja ya mahitaji

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz