2729; Lazima damu zimwagike.

By | June 21, 2022
2729; Lazima damu zimwagike. Maisha ni vita ambayo mwisho wake unajulikana, ambao ni maisha yatashinda na wewe kuanguka. Hilo ni swala la muda tu. Lakini kabla ya matokeo hayo ya mwisho, hapo katikati kuna mapambano makali sana. Katika mapambano hayo, lazima damu zimwagike hasa. Hakuna vita ambayo hakuna umwagaji wa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz