#SheriaYaLeo (249/366); Kuwa na machaguo mengi.

By | July 7, 2022
#SheriaYaLeo (249/366); Kuwa na machaguo mengi. Ili kujiweka kwenye nafasi nzuri ya kupata ushindi kwenye pambano lolote lile, unachohitaji siyo mkakati bora unaofuatwa hatua kwa hatua, bali mkakati wako unapaswa kuwa na machaguo mengi kuliko aliyonayo adui yako. Badala ya kuwa na chaguo moja sahihi ambalo ndiyo unalikumbatia, mkakati bora

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz