2759; Ninakuhitahu zaidi wakati una matatizo.

By | July 21, 2022
2759; Ninakuhitahu zaidi wakati una matatizo. Kitu kimoja ambacho nimeendelea kujifunza kwenye huduma ya ukocha ninayotoa ni pale ambapo watu wanaihitaji zaidi huduma yangu ndipo wanaikimbia. Pale mtu anapojikuta kwenye matatizo na changamoto kubwa, ndiyo unapaswa kuwa wakati mzuri kwake kutumia huduma ya ukocha kuvuka hilo. Lakini badala yake wengi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz