#SheriaYaLeo (264/366); Fanya tofauti na ulivyozoea.

By | July 22, 2022
#SheriaYaLeo (264/366); Fanya tofauti na ulivyozoea. Watu huwa wanategemea tabia zako zifanane na za watu wengine. Wajibu wako kama mwanamkakati bora ni kwenda kinyume na mazoea hayo. Washangaze watu kwa kufanya tofauti na vile ilivyozoelela. Kwa Sun Tzu na wanamikakati wengine, kufanya kitu cha tofauti bila ya utangulizi wa kitu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz