#SheriaYaLeo (296/366); Usipotezwe na vitu visivyo na tija.

By | August 23, 2022
#SheriaYaLeo (296/366); Usipotezwe na vitu visivyo na tija. Kuna wakati unajikuta umezidiwa na majukumu ambayo unapaswa kuyatekeleza. Unajikuta ukiwa na mambo mengi ya kufanya, lakini muda wa kuyafanya unakuwa mdogo. Ni katika wakati huo ndiyo unapata hali ya kuvurugwa, kwa kuona kuna mambo unapoteza au unayakosa kwa sababu umepoteza udhibiti.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz