#SheriaYaLeo (297/366); Nafsi iliyopotea.

By | August 24, 2022
#SheriaYaLeo (297/366); Nafsi iliyopotea. Kila mtu huwa ana nafsi yake ambayo ameipoteza. Hilo linatokana na mtu kuchagua kuwa kama vile ambavyo watu wanataka awe na siyo kama anavyosukumwa kuwa kutoka ndani yake. Wajibu wako mkubwa kwenye maisha ni kuondokana na hali ya mgando unayokuwa nayo, vile unavyojiweka ili kuwaridhisha wengine.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz