#SheriaYaLeo (314/366); Dhibiti hisia zako za majigambo.

By | September 10, 2022
#SheriaYaLeo (314/366); Dhibiti hisia zako za majigambo. Majigambo ni nguvu ambayo ipo ndani ya kila mmoja wetu. Nguvu hiyo inatusukuma kutaka kutaka vitu zaidi ya tulivyonavyo, kutambulika na wengine na kuunganika na kitu kikubwa. Tatizo halipo kwenye nguvu yenyewe, kwani inaweza kutumika kuchochea matamanio yetu. Tatizo lipo kwenye kudhibiti nguvu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz