#SheriaYaLeo (317/366); Vunja agano la mazoea.

By | September 13, 2022
#SheriaYaLeo (317/366); Vunja agano la mazoea. Kuna mazoea ambayo tayari yameshajengeka na yanazingatiwa sana kwenye jamii. Jinsi watu wanavyopaswa kuwa, vitu wanavyopaswa kusema na kufanya tayari vimeainishwa. Hali hizo zinakuwa zimejengwa kwenye tofauti za kijinsia, kikabila, kielimu na nyinginezo. Kukaa kwenye maagano haya ya mazoea ni kujizuia usifanye makubwa, kwani

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz