#SheriaYaLeo (327/366); Pokea kila kinachokuja kwako.

By | September 23, 2022
#SheriaYaLeo (327/366); Pokea kila kinachokuja kwako. Kwenye safari yako ya maisha, kuna mengi yatakuja kwako ambayo ni tofauti kabisa na mategemeo yako. Kwenye hali kama hiyo ni rahisi sana kulalamika na kulaumu wengine kwa hayo unayokuwa unapitia. Lakini kufanya hivyo hakutasaidia chochote. Utaendelea kubaki kwenye hali hiyo hiyo. Kitu pekee

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz