#SheriaYaLeo (328/366); Sifia ukuu wa watu.

By | September 24, 2022
#SheriaYaLeo (328/366); Sifia ukuu wa watu. Kusifia ni kinyume na wivu – tunatambua mafanikio ya watu na kuyafurahia bila ya kujisikia vibaya. Tunakubali ubora wao kwenye sanaa au sayansi au biashara bila ya kupata maumivu. Hilo linaenda zaidi, katika kutambua ukuu wa wengine, tunasherekea uwezo wa juu kabisa wa jamii

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz