2830; Matokeo hayadanganyi.

By | September 30, 2022
2830; Matokeo hayadanganyi. Nimewahi kushirikisha huu mfano, ila nitaurudia tena kwa msisitizo zaidi. Wakati tupo sekondari, mwalimu wetu wa hesabu alikuwa anasahihisha mitihani kwenye majibu tu. Hakuwa anajisumbua kuangalia njia. Wanafunzi tukajadiliana na kuona hilo halipo sawa, hivyo tukamwuliza mwalimu kwa nini hasahihishi njia? Maana anatunyima maksi kwenye njia. Mwalimu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz