#SheriaYaLeo (335/366); Nenda mbele kwa kusudi.

By | October 1, 2022
#SheriaYaLeo (335/366); Nenda mbele kwa kusudi. Kwenye historia ya jeshi, kuna aina mbili za majeshi. Aina ya kwanza ni jeshi linalopigana kwa kusudi kubwa. Jeshi hilo huwa tayari kupambana kwa kila aina na hata kufia katika mapambano. Aina ya pili ni jeshi linalopigana kama sehemu ya kazi na kupata pesa.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz